
Maono ya moshi kabla ya sala ya Alfajiri tarehe 9 Juni, 2019
Nikaona niko kwenye kiwanja kikubwa chenye watu wengi. Nilikuwa nikiwaonya juu ya kukaribia kutokea kwa Ishara ya Moshi, ambayo ni moja ya alama kuu za Saa, na nilikuwa nikiwausia warejee kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu ili…




























