
Kwa bahati mbaya, sisi ni watu wa kusahau haraka na tunapenda kurudia makosa yetu.
Februari 14, 2019 Samahani, nina maneno machache ya kuwaambia baadhi ya wanamapinduzi, na wanaweza kunikasirikia kama kawaida, lakini wajibu na dhamiri yangu vinanitaka niseme ili siku moja muelewe.




























